Ni Harusi iliyo fanyika 26/3/2022 kanisa la EAGT MIGOLI mkoa wa Iringa
Shangazi wa Bibi Harusi na mdogoake hapa chini
Wasimamizi wa Harusi hawa hapa chini...
Mchungaji aliye fungisha ndoa ni Askofu Madelemo kutoka Dodoma huyu hapa chini...
Mchungaji wangu kipenzi aliye nilea kiroho nikiwa Iringa ni Mch. Francis Kikughe huyu hapa chini...
Mungu awabariki ñyote mliyo shiriki kufanikisha harusi hii!..
0 $type={blogger}:
Post a Comment